Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, July 4, 2010
Wanaume wa3
Walisimama kwenye ghorofa,
M'ume wa kwanza akaiachia saa yake ilipofika chini ikavunjika.
Wa pili na ivo ivo.
Wa tatu akaiachia, kisha akaenda chini kuifuata.
Wale wawili wakajiuliza mwenzetu....?
Yule wa tatu akawajibu ''saa yangu inachelewa dk5''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment