Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, August 6, 2010
Basi mpaka ubungo
Abiria mmoja alipanda basi toka Arusha mpaka Dar, alipofika ubungo akamuambia konda hivi: ''konda tukifika ubungo naomba unishushe mule ubongo ndani stand ya mabasi ya mkoa''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment