Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, August 20, 2010
Kuchora mbwa
Kwenye kipindi cha sanaa wanafunzi waliambiwa wachore mbwa kafungwa kamba...
Baada ya muda mtoto mmoja akawa anatoka nje. Mwalimu akamuuliza "wapi unaenda?"
Mwanafunzi akajibu "namtafuta mbwa imebaki kamba tu nliyoichora, itakuwa amekata"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment