Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, August 4, 2010
Kwenda msalani
''naomba kwenda msalani...'' aliwaomba enzake aliokua amekaa nao.
Baada ya muda mfupi sana akarudi ''wenzake wakamuuliza "vipi mbona umerudi fasta hivyo? Au chooni kuna mtu?''
Jamaa akajibu ''nimesahau kikojoleo changu hamjakiona hapa?''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment