Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, August 3, 2010
Majaribio...
Jamaa mmoja alitengeneza sumu. Sasa akawa anatafuta pa kuijaribia. Akaenda kwa mbwa wake na kumuekea aionje kama ni kali au la...
Mbwa wake akamjibu ''we vipi? Mi naoa mwezi ujao allah.''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment