Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, August 20, 2010
Mgonjwa kwa dokta
Mgonjwa: Dokta nimekuja unibadilishie dawa.
Dokta: Dawa? Kivipi? Sijaelewa.
Mgonjwa: Mi naumwa kichwa ila dawa uliyonipa mbona nikimeza inaenda tumboni badala ya kichwani?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment