Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, August 14, 2010
Msibani
Mtoto mmoja alishuhudia kwa mara ya kwanza msiba mtu akizikwa akamuuliza mama yake ''mama... mama... Sasa nani atakua anambadilisha nguo huyo mtu wanaemfukia kwenye sanduku la mbao? Si zitachafuka haraka?''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment