Monday, August 2, 2010

Siku ya mtihani

Mwanafunzi mmoja baada ya zile dakika tano za mwanzo za mtihani, baada ya kuona hali ishakuwa tete akamuambia msimamizi huku akimnong'oneza ''samahani nimesahau ki-boom changu bwenini, naomba kwenda mara moja.''

No comments:

Post a Comment