Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, September 18, 2010
Inzi
Jamaa alishikwa na hasira alipokuta inzi kwenye supu yake akamuita mhudumu.
Mteja: Unaona nini hii?
Mhudumu: Oh! Usijali ameshakufa nimewapulizia dawa wote jikoni.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment