Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, September 19, 2010
Nimesahau bukta
Jamaa mmoja alienda nyumba moja kugonga. Mlango ulipofunguliwa akaulizwa na mwanaume aliemfungulia mlango, "nikusaidie nini kijana?"
Kijana akajibu, "samahani kwa usumbufu ila nimekuja nimesahau bukta yangu ya ndani chumbani kwa mkeo?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment