Friday, September 17, 2010

Spidi ndogo na kubwa

Gari moja ilikuwa spidi ya 50kph, ingine ikapita kwa spidi ya 150kph. Mwisho wa siku wote wakajikuta Majerui hospitali.
Wa 50kph: Vipi tena?
Wa 150kph: Ajali bwana. Je, wewe si ulikuwa slow mbona upo hapa!?
Wa 50kph: Ulivopita nkajua injini yangu imezima nkashuka nkaangalie kumbe inatembea.

No comments:

Post a Comment