Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, September 21, 2010
Vichaa ndegeni.
Ndege moja ilibeba vichaa, sasa walikuwa na kelele. Baada ya muda kidogo msimamizi wao akatokea kwa rubani na kumuuliza mmoja.
Msimamizi/mwangalizi: Wewe! Wenzako wakwapi?
Kichaa akajibu, wanakelele sana wapo hapo nje nimewatoa kidogo.
1 comment:
Unknown
October 3, 2010 at 9:26 AM
subiri nitakutumia kali kali za kucheka hadi uvimbiwe.
Reply
Delete
Replies
Reply
Add comment
Load more...
‹
›
Home
View web version
subiri nitakutumia kali kali za kucheka hadi uvimbiwe.
ReplyDelete