Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, October 25, 2010
Kiwembe
''Dokta mwanangu amemeza kiwembe naomba msaada wako'' Baba akiongea kwenye simu.
Dokta ''okey nakuja, umechukua hatua gani mpaka sasa?''
Baba, ''nimeamua kunyoa kwa kutumia mashine ya umeme badala yake''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment