Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, October 31, 2010
Kung'oa jino
Dokta wa meno: Nimeliona jino linalokusumbua.
Mgonjwa: Utanichaji shilingi ngapi?
Dokta: Elfu 20 tu.
Mgonjwa: Khaa yaani kwa dakika chache tu hela yote hiyo?
Dokta: Usijali, basi ntakung'oa taratiiibu mpaka mwenyewe utafurahi:
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment