Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, October 12, 2010
Kupima macho
Jamaa mmojaalienda kupima macho, wakati yupo kwa daktari akavishwa lenzi ili aweze kusoma maandishi madogo yaliopo kwenye ubao:
Dokta: Haya soma haya maandishi yaliyopo kwenye huu ubao.
Mgonjwa: Ubao gani dokta?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment