Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, October 27, 2010
Pesa bank
Mmasai mmoja alienda bank kuweka hela, alipofika baada ya kuweka akasema "siweki tena pesa yangu bank" Jamaa mmoja akamuuliza "kwa nini?." Mmasai akajibu "metoka weka pesa bank mtu mwingine kazichukua, eti wanasema pesa yangu imebaki kwa karatasi."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment