Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, October 5, 2010
Pombe bwana
Jamaa mmoja alirudi kwake, alipofika sebuleni akawa analigonga gonga lile bwawa dogo la kioo la kufugia samaki. Mkewe akamuuliza ''unafanya niniz?'' Jamaa akajibu ''nawazuia hawa samaki wasinibwakie (kama mbwa)''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment