Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, October 19, 2010
Somo la Historia
Mwalimu mmoja wakati anafundisha somo la historia darasani akatamka ''natamani ningekuwa nimeishi miaka 1000 iliyopita''
Mwalimu akamuuliza, ''kwa nini?''
Mwanafunzi akajibu ''nisingekua nalisoma hili somo sasa?''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment