Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, October 16, 2010
Ugonjwa wa kusahau
Mwanamke: Dokta nimekuja nna tatizo, mume wangu ana tatizo la kusahau sana.
Dokta: Ooh! Nini dalili za hilo tatizo alilo nalo?
Mwanamke: Akiona mwanamke mzuri tu anasahau kua ameshaoa!
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment