Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, October 1, 2010
Wizi
Mama mmoja aliambiwa mwanae ameuwawa kwa sababu ya wizi akajibu hivi, "maskini Tarimo alikua anafanya kazi ya ujambazi akiniletea pesa za kuishi, sasa hiyo kazi ya wizi ameanza lini tena?"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment