Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, November 26, 2010
Ajali kusimulia
Dogo mmoja akiwasimulia wenzake ''dah, baba angu si kapata ajali?''
Dogo wa pili, ''kagongwa na gari?''
Dogo wa kwanza, ''ndio! Yaani bora kagongwa na benz kuliko ingekuwa corolla''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment