Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, November 10, 2010
Gari
Jamaa wawili wakipiga stori zao za kawaida tu, mmoja akamuambia mwenzake ''ebwana si James kanunua gari bwana''
Mwenzake akanena ''aah gari yenyewe inatoa moshi utadhani inatumia kuni... Sio ishu''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment