Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, November 1, 2010
Kahawa
Dokta nna tatizo, kila nkinywa kahawa baada ya muda nasikia kama maumivu hivi kwenye koo.
Dokta baada ya kumfanyia X-ray nakadhalika akamuambia ''siku ingine kabla hujanywa chai hakikisha umetoa kijiko cha sukari kwenye kikombe kwanza.''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment