Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, November 12, 2010
Mmassai na mzigo
Mmasai mmoja alipewa lifti kwenye kenta alikuwa amejibebesha mzigo kichwani. Alipopanda kwenye kenta akawa bado mzigo wake upo kichwani. Wakamuambia aushushe tu si yupo kwenye gari mmasai yule akakataa katu katu.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment