Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, November 29, 2010
Unataka kusoma nini
Baba mmoja alikaa kibarazani na mwanae wa miaka minne akiongea nae, akamuuliza swali ''mwanangu ukikua mkubwa ungependa kusoma nini?''
Mtoto nae bila hiyana akamjibu Dad yake, ''mimi baba? Nikikua nataka nisome magazeti''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment