Thursday, December 9, 2010

Kuopoa bar

Jamaa mmoja alienda Bar, akamuona mrembo mmoja akamuomba wakae nae meza moja.
Wakati wanapiga stori. Jamaa akawa anamuambia yule mwanamke, ''onja basi bia kidogo''

M-dada akajibu ''ooh mimi sinywi bia kabisa''
Jamaa akasisitiza zaidi ''jaribu tu si kidogo tu''
Mwanamke, ''nna dozi bwana leo''
Jamaa: Yaani kidogo tu, dozi gani hiyo bwana?''
Mwanamke: Nipo kwenye dozi ya ARV kaka....

No comments:

Post a Comment