Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, December 29, 2010
Maji
Siku moja familia moja ilienda mikumi kuangalia wanyama. Sasa wakati wanaangalia angalia wakaona pundamilia wakiwa pembezoni mwa mto wakinywa maji.
Mtoto akamuuliza baba yake, ''sasa baba hawa pundamilia maji yao yamechemshwa kweli?''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment