Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, December 16, 2010
Mgonjwa kulazwa
Mgonjwa mmoja wa malaria alipoenda hospitali akaambiwa alazwe kulingana na hali aliyokua nayo. Bahati mbaya akaambiwa wodi na vitanda vyoote vimejaa, jamaa (mgonjwa) akadakia na kusema ''ina maana hata mochuari nako kumejaa? Nipelekeni huko''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment