Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, December 31, 2010
Wanandoa wakigombana
Wanandoa wawili baada ya majibizano yaliyogharimu takribani nusu saa yaliishia hivi:
Mwanamke: Nilikua mpumbavu kukubali kuolewa na wewe.
Mwanaume: Nili-fall in love ndio maana sikuliona hilo.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment