Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, January 21, 2011
Beep
Jamaa mmoja alikuwa na mrembo waki-do chumbani, kidogo yule Mrembo akapumua hewa chafu. Jamaa akauliza ''umakunya?''
Mrembo akajibu ''hapana nimekubeep utumie line nyingine maana hii unayotumia sasa betri low''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment