Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, January 23, 2011
Duka la dawa
Jamaa aliendauka la madawa kisha akanunua dawa za kuondoa gesi tumboni aina ya magnesium. Alipopatiwa akaomba na maji madogo ndipo nesi akamuuliza "ya nini?".
Jamaa akajibu "si ya kumezea dawa hizi ulizonipa!!"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment