Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, January 10, 2011
Mtihani
Mwalimu mmoja akiwaambia wanafunzi wake class, ''nyie wanafunzi mmeiba mtihani?'' ndipo mwanafunzi mmoja ananyanyuka na kusema ''mwalimu, hatujaiba mtihani tumeiba majibu''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment