Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Wednesday, January 19, 2011
Spidi ya gari
Jamaa mmoja alikuja mbio kwa gari akaja akapaki pembezoni mwa marafiki zake, aliposhuka akawa anahema kama ametoka kwenye riadha. Jamaa akamuuliza ''kulikoni unahema hivyo?''
Jamaa akajibu ''we hujaona nilivokua nakuja speed kwa gari?''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment