Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, February 5, 2011
Boss
Boss mmoja aliwafokea sana wafanyakazi wake akaona kama wanamdharau, siku ya pili akaning'iniza kibao kimeandikwa "Am the boss". Baada ya masaa kadhaa akakuta kibao kingine kimeandikwa "mkeo amekuja anataka kibao chake ulichobandika mlangoni.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment