Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, April 26, 2011
Jambazi
Majambazi matatu yaliyovaa na kuficha nyso zao walivamia bank. Wakaiba hela za kutosha, kabla hawajaondoka mmoja wa wale majambazi akamuona cashier mzuuri mwanadada. Alichofanya akatoa biznez kadi na kumpatia ili awasiliane nae baadae.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment