Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, April 23, 2011
Mahari
Jamaa alipoenda kutoa posa na hii ndio mahari aliyotajiwa alete.
1. Panga la baba
2. Sime ya mama
3. Shoka la mjomba
4. Mkuki wa shangazi
5. Upinde wa shemeji na mbegu za bangi.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment