Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, May 14, 2011
Pombe
Jamaa mmoja alikua bar na mkewe akalewa chakari. Mkewe akawa anamsaidia kumkokota mpaka nyumbani, walipofika housegirl akawafungulia mume akanena ''vyumba vipo au vimejaa?''
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment