Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, June 14, 2011
Dogo akiomba msaada baada ya...
Katoto kavulana: Njoo haraka haraka kuna mwanaume anampiga baba angu zaidi ya dakika 20 sasa!
Polisi: Kwa nini hukuniambia awali?
Katoto: Kwa sababu baba ndio alikua anamdunda dakika chache zilizopita.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment