Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Sunday, June 12, 2011
Dogo na maswali
Mtoto: Baba mbona tumbo la anti kubwa?
Baba: We nawe wajua kila kitu?
Mtoto: Hapana baba sijui kabisa.
Baba: Ok! Ni limejaa tu maji si kingine.
Mtoto: Hee! Sa mtoto si atazama kwenye maji?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment