Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, June 14, 2011
Hii ya siku mingi
Wodi ya vichaa walichorewa kuku ukutani, wakaambiwa wamkamate! Woote wakaenda kasoro mmoja tu.
Wakamuuliza we vipi mbona hendi mkamata akajibu "shhhh nataga"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment