Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, June 13, 2011
Kaazi kweli kweli
Jamaa alipokua kwa daktari wa meno:
Mgonjwa: Dokta fasta nikatoe viatu vyoote sebuleni rafiki yangu anakuja leo home.
Dokta: Kwanini? Rafiki yako ni mwizi?
Mgonjwa: Hapana asije akavitambua viatu vyake.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment