Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, June 4, 2011
Kuchelewa shule
Mtoto akimjibu mwalimu "Mwalimu nimechelewa kwa sababu baba na mama walikua wanapigana, mama alikua anatumia kiatu changu kumpigia baba nilikua nasubiri wamalize nikivae nije."
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment