Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, June 18, 2011
Kumsaidia mke
Jamaa::: Nashindwa kumsaidia mke wangu anakaa macho hadi saa 11 alfajiri kila siku. Mwenzake akamuuliza "anakua anafanya nini?" Ndipo jamaa akajibu "ananisubiri mimi nirudi toka bar"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment