Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Thursday, June 23, 2011
Mambo ya bafuni
Mtoto mmoja akimuambia mama yake, "mama mi naona unapataga shida, si umuambiage baba akusugue na dodoki mgongoni wakati wa kuoga kama baba anavyomsuguaga jirani yetu ukisafirigi"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment