Saturday, June 18, 2011

Manesi na utani kwa dokta

Manesi watatu walipanga kumtania dokta wanaefanya nae kazi.
Baadae wakakutana kila mmoja kumpa mwenzake mrejesho kila mmoja kamfanyia utani gani dokta:
Wa kwanza: Mi nliweka pamba kwenye kipimo cha kusikilizia mapigo ya moyo ili asisikie.
Wa pili: Mie yangu ndio kali, nimetoboa tundu condom zake zote.
Nesi wa tatu akazimia.

No comments:

Post a Comment