Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Friday, June 17, 2011
Matatizo kwa Dokta
Mgonjwa: Dokta nahitaji unisaidie, nna stress, hasira hovyo na watu hata sijielewi nna nini?
Dokta: Haya nielezee tatizo linalokusumbua.
Mgonjwa: Dokta we mzima? Si nshaelezea kila kitu?
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment