Sunday, June 12, 2011

Mchaga hospitalini

Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?"

Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono."
Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex?
Ipo mzee, nesi alijibu.

Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji.
Mgonjwa: Yeuwi... Wamefunga duka?

No comments:

Post a Comment