Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Tuesday, June 7, 2011
Mchaga mpirani
Mchaga mmoja mmoja kwa jina Masawe alikua anacheza nafasi ya goli kipa... Sasa wakati timu pinzani inakuja kushambulia Masawe si akamuona mtu anae mdai akaacha kuokoa goli lisiingie akakimbilia kumdai...
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment