Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Monday, June 13, 2011
Ndoto ya panya
Dada: Baba tangu juzi naota panya anacheza tebo tenesi.
Baba: Usiogope ni kawaida tu.
Dada: Je nifanyeje nimeze dawa au?
Baba: Ya nini wakati leo ndio Fainali.
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment