Ongeza siku zakuishi kwa kucheka.
Saturday, June 11, 2011
Peni na Dokta
Mzee mmoja alimpigia simu daktari na kumuambia "dokta! Mwanangu kameza peni"
Dokta akajibu "tumia penseli wakati nakuja"
No comments:
Post a Comment
‹
›
Home
View web version
No comments:
Post a Comment